Wafanya mauaji na kuondoka na koromeo na ubongo

Kamanda wa polisi mkoa wa Kagera, Awadhi Haji

Watu wanane wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Kagera, kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mwanamke aitwaye Stella Paschael mkazi wa Nyabihonza wilaya ya Karagwe, kwa kumkata mapanga na kutoweka na baadhi ya viungo vyake vikiwamo ubongo, ulimi na koromeo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS