Et’oo rais mpya chama cha soka Cameroon

(Mshambuliaji wa zamani wa Cameroon, Samuel Et'oo aliyeshinda urais)

Mshambuliaji wa zamani wa Barcelona, Inter Milan na timu ya taifa ya Cmaeroon ,Samuel Et'oo amechaguliwa kuwa rais wa shirikisho la Soka nchini Cameroon 'Fecafoot' baada ya kushinda kwenye  uchaguzi wa chama hicho uliofanyika leo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS