Et’oo rais mpya chama cha soka Cameroon
Mshambuliaji wa zamani wa Barcelona, Inter Milan na timu ya taifa ya Cmaeroon ,Samuel Et'oo amechaguliwa kuwa rais wa shirikisho la Soka nchini Cameroon 'Fecafoot' baada ya kushinda kwenye uchaguzi wa chama hicho uliofanyika leo