Sababu zitakazoipa Yanga SC Ubingwa NBC Tanzania

(Kocha wa Yanga, Mohammed Nasreddine Nabi)

Kocha Mkuu wa Yanga, Nesreddine Nabi amefunguka na kusema kuna mambo mawili ambayo yataifanya klabu yake ya Yanga kuibeba Ubingwa wa Ligi Kuu NBC Tanzania kwa msimu huu wa mwaka 2021-2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS