Polisi yatahadharisha utapeli mpya mitandaoni 

Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini SACP David Misime

Jeshi la Polisi nchini, limetoa angalizo juu ya uwepo wa watu wanaotumia mitandao Kutapeli kwa kutengeneza vikundi na kuandaa maonyesho feki ama kuuza magari kwa mwamvuli wa serikali au picha ya kiongozi na kisha huomba mhusika kutuma ada ya ushiriki ama malipo na atakayetuma hutapeliwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS