Spurs dhidi ya Rennes kutochezwa tena?

(Kocha wa Spurs, Antonio Conte)

Mchezo wa kundi G wakumalizia hatua ya makundi uliopaswa kufanyika siku ya Alhamisi na kuhairishwa baina ya Tottenham Hotspur dhidi ya Rennes kutokana na asilimia kubwa ya wachezaji wa Spurs kukumbwa na  maambukizi ya Uviko 19 hautachezwa tena kwa mujibu wa taarifa ya UEFA .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS