Hakuna sababu ya kumvua unahodha Maguire

Nahodha wa Manchester United Harry Maguire

Kocha wa Manchester United Ralf Rangnick amesema Harry Maguire ataendelea kuwa nahodha wa Manchester United lakini anapaswa kuwa bora zaidi, kikosi hicho cha mashetani wekundu kinashuka dimbani leo usiku majira ta Saa 5:15 wanacheza na Brighton mchezo wa Ligi Kuu England EPL.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS