Marufuku shindano  lolote la Tennis nchini China  

(Mcheza tennis wa China, Peng Shuai na ujumbe alioutuma online)

Chama cha mchezo wa tennis duniani upande wa wanawake wamezuia mashindano yote yaliyopaswa kufanyika nchini China mpaka sakata la unyanyasaji wa kijinsia la nyota kutoka   nchini humo  Peng Shuai kupatiwa ufumbuzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS