Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali George Waitara (kulia) akifanya mahojiano na Mwandishi wa East Africa TV Dotto Kadoshi.
Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali George Waitara ameeleza jinsi alivyoanza kupanda Mlima Kilimanjaro tangu mwaka 2008 akiwa madarakani na hajaacha mpaka leo Desemba 5, 2021 licha ya kuwa mstaafu.