Pro. Ndalichako atoa rai UMISAVUTA
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Profesa Joyce Ndalichako amesema kuwa Sera, Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo vitasimamiwa ipasavyo ili kuimarisha ufundishaji na ujifunzaji wa michezo shuleni na katika Vyuo vya Ualimu.