Tembo Warriors yafuzu Kombe la Dunia 2022

(Tembo Warrirors walipokuwa wanacheza na Cameroon kwenye CANAF)

Timu ya soka ya taifa ya Tanzania kwa watu wenye ulemavu ‘Tembo Warriors’ imeifunga Cameroon 5-0 asubuhi ya leo Disemba 1, 2021 na kufanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Afrika kwa wenye Ulemavu 2021 ‘CANAF’.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS