Rais Samia amkumbuka Dkt. Magufuli kwa hili

Kushoto ni Rais Samia Suluhu Hassan, na kulia ni Hayati Dkt. John Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kwamba mtangulizi wake Hayati Dkt. John Magufuli, alimuachia urithi mzito katika masuala ya miundombinu na kuahidi mawazo yote aliyoyaanzisha atayatekeleza kikamilifu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS