Yanga SC yavunja ukimya kuhusu waamuzi Nchini

(Msemaji wa Yanga, Haji Manara na Afisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli)

Uongozi wa klabu ya Yanga umesikitishwa na mwenendo mbaya wa maamuzi kwenye ligi kuu soka Tanzania bara hasa katika michezo inayowahusisha watani zao wa jadi klabu ya soka ya Simba ndani  ya msimu huu wa 2021/22.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS