Manchester United kuivaa Burnley leo EPL
Klabu ya Manchesteter United itawania kushinda mchezo wa tatu mfululizo wa Ligi kuu nchini England EPL Usiku wa saa 5:00 usiku wa leo Februari 8, 2022 itakaposhuka dimbani kucheza ugenini dhidi ya Burnley mchezo utakaochezwa katika dimba la Turf Mor.
