Mgombea adai kuongeza posho za wabunge

Kunje Ngombale Mwiru

Mgombea wa kiti cha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka chama cha SAU Kunje Ngombale Mwiru, amesema endapo atapata ridhaa ya kuongoza kiti hicho atahakikisha anapunguza vikao na kuongeza posho za wabunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS