"Tumewajibu kwa mimba" - Mr II Sugu

Picha ya Mr II Sugu

Aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi 'Mr II Sugu' amewajibu waliomdhihaki kwenye mtandao wa Instagram kwa kumpa mke wake ujauzito baada ya kumsema kwamba ni mgumba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS