Chuo Kikuu walimu wanaamua ufeli ama ufaulu
Mwanasheria kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Fulgence Massawe, amesema kuwa kundi kubwa linaloathirika zaidi na rushwa ya ngono na ukatili wa kinjinsia ni la wasichana wa vyuo vikuu sababu walimu wao ndiyo wanaoamua hatima za elimu zao.

