Halep nje, Medvedev atinga robo Australian Open

Daniil Medvedev.

Nyota wa tennis kutoka Romania Simona Halep ametupwa nje ya michuano ya wazi ya Australia kwa mwaka 2022 baada ya kufungwa katika seti tatu na Mfaransa Alize Cornet na kuungana na nyota wakubwa duniani waliotupwa nje kama Naomi Osaka, Emma Raducanu,Petra Kvitova katika michuano hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS