Chelsea mabingwa wa Dunia Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ubingwa Klabu ya Chelsea ya England imeibuka mabingwa wa klabu bingwa ya Dunia (FIFAClubWorldCup) kwa mara ya kwanza baada ya kuifunga klabu ya Palmeiras ya Brazil magoli 2-1 kwenye fainali iliyopigwa kwa dakika 120. Read more about Chelsea mabingwa wa Dunia