Sports Countdown Julai 22, Tanzania yaichapa Congo

Wachezaji wa Tanzania wanaounda kikosi cha timu ya taifa

Stori sita (6) za michezo (Sports Countdown) leo asubuhi Julai 22, 2021. kwenye Supa Breakfast ya East Africa Radio kuanzia Saa 1:15 Asubuhi, ambapo kila stori inatokana na namba 1 mpaka 6. Na moja ya stori kubwa leo ni David alaba apewa jezi namba 4, Tanzania yaifunga Congo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS