Utata juu ya kifo cha dereva Mbeya wapatiwa majibu

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya RC Albert Chalamila

Kamati  ya kuchunguza utata ulioibuka kuhusu mazingira ya kifo cha aliyekuwa dereva wa lori, Abdulhman Issa  imebaini kuwa dereva huyo hakupigwa na Askari wa kikosi cha usalama barabarani kama ilivyoelezwa hapo awali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS