"Wanufaika wa mikopo walipe asilimia 8" - Matiko

Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Esther Matiko

Mbunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA Esther Matiko, amehoji ni lini serikali itabadilisha sheria ya riba kwa wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu kwamba badala ya kulipa riba ya asilimia 15 walipe asilimia 8 pekee ili kutoa wajuzi na siyo kugeuzwa kuwa chanzo cha mapato.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS