Simba wamefanikiwa na Simba Super Cup 2021?

Wachezaji wa Simba SC wakishangilia ubingwa wa Simba Super Cup 2021.

Abissay Stephen Jr

Tarehe 22 Januari 2021, Afisa mtendaji mkuu wa klabu ya Simba, Barbara Gonzalez alitangaza kuwa uongozi wa klabu hiyo umeandaa mashindano maalum yaitwayo 'Simba Super Cup' kwa lengo la  maandalizi kuelekea michezo ya makundi ya michuano ya klabu bingwa barani Africa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS