RC Mbeya aunda tume kuchunguza kifo cha dereva

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila ameunda tume ndogo ya watu wanne na kuipa jukumu la kuchunguza kifo cha dereva wa Lori aliyefahamika kwa jina la Abdulhman Issa anayedaiwa kufia mikononi mwa polisi katika eneo la Shamwengo wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS