Watoto wa familia moja wapoteza maisha

Ukuta uliowaangukia watoto wawili wa familia moja

Watoto wawili Ashiri Malimi(4) na Laurencia Malimi (2), wakazi wa kata ya Kaseme mkoani Geita, wamefariki dunia huku wengine saba wakinusurika baada ya kuangukiwa na  ukuta wa nyumba, ulioanguka kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha mkoani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS