Aliyeuwa wazazi wake na ndugu zake kutoshtakiwa Lawrence Waruinge, aliyekiri kuwauwa wazazi wake na ndugu zake Mvulana mwenye umri wa miaka 22 aliyekiri kuwauwa watu watano, akiwemo baba yake mzazi, mama yake na ndugu zake, hatashtakiwa baada ya Mahakama kutoa uamuzi wake. Read more about Aliyeuwa wazazi wake na ndugu zake kutoshtakiwa