Manchester City kukaa kileleni EPL leo?

Wachezahi wa klabu ya Manchester City wakishangilia baada ya kupata bao.

Matajiri wa jiji la Manchester, klabu ya Manchester City itashika usukani wa ligi kuu nchini humo endapo ikifanikiwa kupata ushindi leo Januari 26, 2021saa 5:15 usiku itakapokuwa ugenini kucheza dhidi ya klabu ya West Bromwich Albion.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS