JPM amzungumzia Balozi aliyekula hela za serikali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli

Rais Dkt. John Magufuli, amemuomba Rais wa Ethiopia Sahle-Work Zewde, kukirudisha kiwanja ambacho kilitengwa kwa ajili ya Tanzania kujenga Ubalozi wake chini humo na kunyang'anywa kwa kushindwa kukiendeleza, baada ya pesa zilizotumwa kuliwa na aliyekuwa Balozi wa wakati huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS