JPM amzungumzia Balozi aliyekula hela za serikali
Rais Dkt. John Magufuli, amemuomba Rais wa Ethiopia Sahle-Work Zewde, kukirudisha kiwanja ambacho kilitengwa kwa ajili ya Tanzania kujenga Ubalozi wake chini humo na kunyang'anywa kwa kushindwa kukiendeleza, baada ya pesa zilizotumwa kuliwa na aliyekuwa Balozi wa wakati huo.