Arejea nyumbani kwao baada ya miaka 46

Francis Indek Arachabon, aliyeondoka nyumbani kwao mwaka 1975 na kurejea 2021

Mwanaume mmoja nchini Kenya aliyejulikana kwa jina la Francis Indek Arachabon, amerejea nyumbani kwao baada ya kutoweka kwa miaka 46, ambapo inadaiwa kuwa wakati anaondoka alikuwa na miaka 29 na aliaga kwamba anaenda kumtembelea mjomba yake mkazi wa Kimilili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS