Kocha mpya Simba ni utata, Ibenge, Micho watajwa

Kocha wa AS Vital na timu ya taifa ya DR Congo, Florent Ibenge ni moja ya kocha anaetajwa sana huenda akawa kocha mpya wa Simba SC

Klabu ya Simba SC itakuwa na mkutana na waandishi wa habari leo Ijumaa Januari 22, 2020. mkutano huu unaangaziwa na wadau wengi huenda klabu hiyo ikamtangaza kocha mpya atakae kinoa kikosi hicho, baada ya mabingwa hao wa Tanzania bara kuachana na Kocka Sven Vandenbroeck.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS