Vijana walia na tiketi za kielektroniki nchini

Mmoja ya wakatisha tiketi kielektroniki Adam Suleiman akimpatia maelekezo abiria katika kituo cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.

Zoezi la ukataji wa tiketi kielektroniki kwa abiria wa mabasi yaendayo mikoani, imetajwa kama moja ya changamoto kubwa itakayopoteza ajira kwa mamia ya vijana nchini hasa waliokuwa wakikatisha tiketi hizo kwa kuandika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS