Aliyeongoza Kitaifa adai hakuyaamini matokeo

Paul Luziga (17), aliyeongoza Kitaifa matokeo ya Kidato cha Nne ya 2020

Mwanafunzi Paul Luziga (17), kutoka katika Shule ya Sekondari Panda Hill ya mkoani Mbeya, ambaye ameongoza kwenye matokeo ya kidato cha nne kitaifa mwaka huu, amesema siri kubwa ya yeye kufanya vizuri ni kumtegemea Mungu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS