RC Kunenge wa Dar es salaam atembelea IPP Media
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Mh. Aboubakar Mussa Kunenge, ameainisha mikakati inayofanyika na inayotarajiwa kufanyika jijini Dar es salaam, kwaajili ya kuwainua kina mama na kutengeneza fursa zaidi katika mkoa huo.