Cedric Kaze ataja sababu za Shikhalo kukaa benchi

Kushoto ni kocha wa Yanga Cedric Kaze na kulia ni Farouk Shikhalo

Mkuu wa benchi la Ufundi kwenye kikosi cha Yanga Cedric Kaze ametoa sababu kujibia ni kwanini mlinda mlango Mkenya Farouk Shikhalo amekuwa akisugua benchi na kuwa chagua la kwanza mbele ya Metacha Mnata.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS