Aliyeiibia TANESCO akamatwa

Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Kagera, John Joseph.

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoani Kagera (TAKUKURU), inatarajia kumfikisha mahakamani mfanyakazi wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO) Shamy Magheta, anayetuhumiwa kuomba rushwa ya shilingi 500,000 kutoka kwa mwananchi aliyemlaghai kuwa atampelekea huduma ya umeme.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS