Kusaya aahidi haya kwenye kilimo cha umwagiliaji

Kulia ni Katibu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya

Katibu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya, amesema,watanzania wategemee mageuzi makubwa katika kilimo cha umwagiliaji, kwani serikali imejipanga kikamilifu kukabiliana na changamoto zinazoikabili sekta hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS