Vyama 9 Zanzibar vyatoa neno uteuzi wa Dkt. Mwinyi

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi

Viongozi wa umoja wa vyama 9 vya upinzani Zanzibar, wamesema kuwa wameyakubali kwa asilimia 100 matokeo ya urais na watahakikisha wanamuunga mkono Rais Dkt. Hussein Mwinyi, ili kuleta maendeleo ya Wazanzibar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS