Vyama 9 Zanzibar vyatoa neno uteuzi wa Dkt. Mwinyi
Viongozi wa umoja wa vyama 9 vya upinzani Zanzibar, wamesema kuwa wameyakubali kwa asilimia 100 matokeo ya urais na watahakikisha wanamuunga mkono Rais Dkt. Hussein Mwinyi, ili kuleta maendeleo ya Wazanzibar.