Raia wa Msumbiji ahukumiwa mwaka mmoja jela

Pichani mtu akiwa amefungwa pingu (Picha kutoka mtandaoni)

Mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu Jijini Dar es salaam, imemhukumu raia wa Msumbiji Rashid Athuman Rashim, mwaka mmoja jela au kulipa faini ya shilingi milioni nne katika makosa mawili ikiwemo kuingia nchini bila kibali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS