Ndugai ajitosa kutetea kiti chake Spika wa Bunge Jamhuri wa Muungano aliyemaliza muda wake Job Yustino Ndugai Spika wa Bunge Jamhuri wa Muungano aliyemaliza muda wake Job Yustino Ndugai, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi kumpendekeza kuwa Spika wa Bunge la 12. Read more about Ndugai ajitosa kutetea kiti chake