Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM), Dkt.John Pombe Magufuli
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM), Dkt.John Pombe Magufuli, amepiga kura kwenye kituo cha kupiga kura Chamwino huku akisema kuwa siku ya leo ni muhimu katika kukuza demokrasia.