Washindi droo Maji ya Kilimanjaro wapokea zawadi

Baadhi ya washindi wa Television katika droo ya pili ya shindano la shinda na maji ya Kilimanjaro kutoka kampuni ya Bonite Bottlers zilizotolewa siku ya Leo Mikocheni jijini Dar Es Salaam.

Kampuni ya Bonite Bottlers ambao ni wazalishaji wa Maji ya Kilimanjaro, leo Disemba 17, 2019 imefanya zoezi la ugawaji na kukabidhi zawadi kwa watu 45, ambao ni washindi wa  Pikipiki, Runinga (TV) na katoni 50 za maji kupitia droo ya pili ya shindano la shinda na maji ya Kilimanjaro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS