Wanafunzi UDSM waijibu Bodi ya Mikopo

Kibao cha Serikali ya Wanafunzi DARUSO

Uongozi wa Serikali ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (DARUSO), umesema haujaridhika na ufafanuzi uliotolewa na Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu Nchini (HESLB), na kueleza bado wanaendelea na msimamo wao uleule na sasa yamebaki masaa 48.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS