Meya wa Mji ashinda kiti cha Urais Mshindi wa Urais Romania Nicusor Dan Meya wa mji wa Bucharest ameshinda uchaguzi nchini Romania baada ya kumshinda mgombea wa chama cha siasa kali za mrengo wa kulia, George Simion, kwa karibu asilimia 54. Read more about Meya wa Mji ashinda kiti cha Urais