CAF kuchunguza malalamiko ya Algeria

Mwamuzi Issa Sy

Shirikisho la soka la Algeria (FAF), limewasilisha malalamiko rasmi kwa Shirikisho la soka Afrika (CAF) na FIFA kuhusu maamuzi yenye utata ya waamuzi baada ya Algeria kupoteza mchezo wake wa robo fainali ya AFCON 2025 dhidi ya Nigeria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS