Jeshi la Polisi launda kikosi maalumu Kamanda wa polisi mkoani Pwani Jonathan Shanna Jeshi la polisi mkoani Pwani limeanzisha kikosi kazi maalumu kwa ajili ya kufuatilia madereva wanao washawishi askari kupokea rushwa pindi wanapokutwa na makosa mbalimbali ya usalama barabarani. Read more about Jeshi la Polisi launda kikosi maalumu