FID Q kufuata nyayo za AY
Rapa Fid Q amepatwa na kigugumizi kwa kushindwa kuweka bayana kama naye anatarajia kufunga ndoa na mpenzi wake mpya anayeishi Tanzania na Uingereza aliyetambulika kwa jina la Karima katika siku za usooni kama ilivyokuwa kwa swahiba wake AY.

