Daktari wa Yanga amalizana na Kamusoko

Baada ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu akiwa majeruhi hatimaye kiungo wa Yanga Thabaani Kamusoko amerejea na anatarajiwa kucheza kweney mchezo wa ligi kuu leo dhdi ya Majimaji FC kwenye uwanja wa Uhuru.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS