Nyota 7 wa Yanga warejea

Kuelekea mchezo wa ligi ya Mabingwa Afrika kesho klabu ya Yanga imepata nguvu mpya baada ya nyota wake saba waliokuwa majeruhi kurejea mazoezini leo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya  St. Louis. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS