EATV yaibua DADAZ Kituo cha utangazaji East Africa Tv kimegeukia jamii ya wanawake nchini kwa kuanzisha kipindi kipya kitakachokwenda kwa jina la 'DADAZ' chenye lengo la kujadili mambo mbalimbali yanayotokea kwenye jamii katika mtazamo wa kike. Read more about EATV yaibua DADAZ