''Kakobe Mahakamani atashinda'' - Kigwangalla Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla amesema kuwa ukimpeleka mahakamani Askofu Zacharia Kakobe atashinda kwasababu watu wanasema inawezekana anasumbuliwa na ugonjwa wa akili. Read more about ''Kakobe Mahakamani atashinda'' - Kigwangalla