Watanzania wapigwa marufuku
Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano imewapiga marufuku wananchi wa Tanzania kujichukulia sheria za barabarani mkononi kwa kuweka matuta katika barabara bila ya kuvishirikisha vyombo husika kwa madai kitendo hicho kinasababisha ajali.

