Watanzania wapigwa marufuku

Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano imewapiga marufuku wananchi wa Tanzania kujichukulia sheria za barabarani mkononi kwa kuweka matuta katika barabara bila ya kuvishirikisha vyombo husika kwa madai kitendo hicho kinasababisha ajali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS