Mchezaji wa EPL astaafu akiwa na miaka 26 Kiungo wa klabu ya Hull City ya England Ryan Mason, amelazimika kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 26 kwa tatizo la jeraha la fuvu la kichwa alilopata kwenye mechi dhidi ya Chelsea. Read more about Mchezaji wa EPL astaafu akiwa na miaka 26