Lina afunguka kubadili dini

Msanii wa muziki bongo mwenye sauti ya kuvutia, Estelinah Sanga ambaye kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja, amefunguka suala la kubadili dini iwapo atatakiwa kufunga ndoa na baba mtoto wake maarufu kwa jina la mchomvu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS